Wednesday, December 29, 2021
Sunday, January 13, 2019
Tuesday, December 27, 2016
Wananchi watakiwa kutunza vyanzo vya maji
Baadhi ya MAENEO yaliyoharibiwa na wavamizi wakulima na kulima karibu na vyanzo vya maji katika Shamba la miti West KILIMANJARO .wananchi hao wametakiwa kuondoka na kusitisha shughuli hizo la KILIMO mara moja kabla hatua Kali za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao
Wednesday, November 2, 2016
DCC wilaya ya siha yafanya kikao cha kawaida leo tar 2.11.2016
Wajumbe wa kamati ya ushauri ya Wilaya ya SIHA yafanya kikao cha kawaida leo katika ukumbi wa mikutano wa HALMASHAURI ya SIHA
Sunday, May 17, 2015
USAILI AJIRA MADEREVA
HALMASHAURI
YA WILAYA YA SIHA
12.05.2015
TANGAZO
LA USAILI
Mkurugenzi
Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Siha anawatangazia usaili wa kazi ya udereva utakaofanyika
Tarehe 15.05.2015. Wafuatao wanatakiwa kufika
Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Siha muda wa saa mbili (2:00)
asubuhi.
1. ABDALLAH JUMA MKAMBI
2. ABDI SHABANI MWANSANGA
3. BAHATI BENESI KAMAGA
4. BIUCLANDE DANIEL PALLANJO
5. CHARLES RICHARD MTERA
6. DANNY DANIEL
7. ELIAS ELISA KIMARO
8. EVARIST ALOYCE ASSEY
9. GEORGE P LUEAS
10. HENRY MARTIN SOLOMON
11. JAPHET BRYSON MSUYA
12. JOHN E MAHUNDI
13. JOHN LECK TEMU
14. JOSHUA PETER LUKONDE
15. KEPHA ARTHUR JUSTO
16. RAJABU HAMIS
17.
WILBERT
FREDRICK MAIM
18.
YOENI
A MBWAMBO
NB:Tafadhali
fika na vyeti Halisi vya kusomea (original certificates) pamoja na Leseni ya
udereva
NB:Tangazo
hili pia linapatikana kwenye blog ya
Halmashauri ya Siha, ingia google, andika :sihaleo.blogspot.com
Limetolewa na
Rashid S Kitambulio
Mkurugenzi Mtendaji (W) Siha
Friday, April 24, 2015
UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI SIHA 2015
Wednesday, March 5, 2014
mbegu za maharage
Wataalam
kutoka chuo kikuu cha Kilimo Sokoine kilichopo Mkoa wa Morogoro (SUA)
wamesambaza mbegu bora za Maharage zaina
ya aina tano katika Halmashauri ya
Wilaya ya Siha .
Mbegu hizo bora
za Maharage zimefanyiwa utafiti katika
kituo cha Lyamungo na Emmaus kwa Masista na kuonekana kuwa na mafanikio
makubwa.
waliopatiwa mbegu hizo ni pamoja na Watendaji wa Vijiji,Maafisa
Ugani,Baadhi ya watumishi katika Idara ya Kilimo na Ushirika pamoja na Baadhi
ya waheshimiwa Madiwani na kutakiwa na Wataalam hao kuwa mfano kwa Wakulima
Wengine.
Subscribe to:
Comments (Atom)




