Tuesday, December 27, 2016

Wananchi watakiwa kutunza vyanzo vya maji

Baadhi ya MAENEO yaliyoharibiwa na wavamizi wakulima na kulima karibu na vyanzo vya maji katika Shamba la miti West KILIMANJARO .wananchi hao wametakiwa  kuondoka na kusitisha shughuli hizo la KILIMO  mara moja kabla hatua Kali za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao 




No comments:

Post a Comment