Tuesday, December 27, 2016

Wananchi watakiwa kutunza vyanzo vya maji

Baadhi ya MAENEO yaliyoharibiwa na wavamizi wakulima na kulima karibu na vyanzo vya maji katika Shamba la miti West KILIMANJARO .wananchi hao wametakiwa  kuondoka na kusitisha shughuli hizo la KILIMO  mara moja kabla hatua Kali za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao 




Wednesday, November 2, 2016

DCC wilaya ya siha yafanya kikao cha kawaida leo tar 2.11.2016


Wajumbe wa kamati ya ushauri ya Wilaya ya SIHA yafanya kikao cha kawaida leo katika ukumbi wa mikutano wa HALMASHAURI ya SIHA